[quote="maria from west side"][quote="Lord Diplock"][quote="maria from west side"]U 2 Kiatu mpira.
Umepotelea wapi?[/quote]
Niko around, bado ninaongejea nambari ya simu yako.
niko sawa, kazi na shule.[/quote]
*
Glad to hear that! Kazi na shule hivyo ndio inavyo takiwa, sio kijiweni.
lool@namba yako

[/quote]
Sisi watu wa Kenya na Tanzania, tumekuja huku kusoma na pia kufanya kazi, mambo za siyasa ya somalia (na somaliland) siyo kitu ambayo ya kutuhusu sana. siyo maria? ama vipi?
ninacheza, ninajua una habi na watoto, so, thanks na nambari yako.
