Page 1 of 1

C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:23 pm
by The_Patriot
Sema ndugu 8)
cheki hii habari hii
Source
:down: :down: :down:

Re: C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:26 pm
by AbdiWahab252
Patriot,

Salama kaka.

Mambo ?

Nairobi bila matatu ni kama Mogadishu bila punda.

Wana taka ku ndangaya watu.

Re: C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:27 pm
by The_Patriot
AbdiWahab252 wrote:Patriot,

Salama kaka.

Mambo ?

Nairobi bila matatu ni kama Mogadishu bila punda.

Wana taka ku ndangaya watu.
Hawa washenzi ni hunguri kubwa hata hakuna tena kiosks za kununua koroga sasa wameanzia matatu.
:down: :down: :down:

Re: C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:29 pm
by AbdiWahab252
Patriot,

Watu iba hizo bus stop.

Re: C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:31 pm
by ms.nalia

lol

4 real?

Re: C/Wahab

Posted: Fri Aug 22, 2008 1:33 pm
by AbdiWahab252
Miss Nalia,

Ni kweli.