I concluded that
Eloquency is better than Education in committee hearing wallaahi
Moderators: Moderators, Junior Moderators

siwajui wallaahi. Mmoja wao hajui anyeongea. Badala ya kuongea juu ya inwani, anaanza kuongea vili alikuwa otagana, Kwamba hawakubewa Chakula. ati aliulizwa Kitambulisho na askari eastleigh. Wasomali wamechanganyikiwa bro. Mzee ambayo hakuwa na elimu yeyote amemshinda vibaya wallaahi. Lakini mbwona wana chukiana na Mashaikh. Watu kutoka somalia hawajui kuheshumu mashaikh walal. bal xage lugu arkay sheikh inta parliament latago lasoo astakaynaayo.AbdiWahab252 wrote:![]()
![]()
![]()
Sasa, mzee, hawa pumbavu wame toka kutoka wapi ?